Posts

Showing posts from March, 2019

Ruge aagwa leo jijini daresalaam

Image
Maelfu ya watanzania, waomboleza, viongozi wa nchi pamoja na wasanii nchini wameunga na kwa pamoja na familia ya Ruge asubuh ya leo katika kumuaga marehemu huyo aliyekuwa mkurugenzi wa clouds katika viwanja vya Karimjee jijini Daresalaam. Baada ya kuagwa mwili wa Marehemu utaelekea Mwl. J.k Nyerere Airport kwaajili ya safari ya kuelekea  Bukoba nyumbani kwao na marehemu ambapo kutakuwa na nyumba yake atakayopumzika milele.