Diamond platnumz awa gumzo juu ya kifo cha ruge

Kufuatia kifo cha mkurugenzi mkuu wa clouds media group (CMG) Ndg.Ruge mutahaba, maelfu ya watanzania na wana burudani wakaa mkao wa kula wakisubir kuona nin msanii diamond platnumz atakachopost juu ya kifo cha Ruge, ambapo mpaka sasa msanii huyo hakuna alichoposti kwenye kurasa zake zote kuhusiana na kifo cha ruge.

Comments

Popular posts from this blog

Ruge aagwa leo jijini daresalaam

Tanzia: Msanii Jessie ambaye alikuwa zao la THT afariki dunia