Matokeo ya mechi za robo fainali UEFA Ueropa league leo April 11

Michezo mbalimbali iliendelea jana viwanjani, ambapo arsenal alikuwa akichuana vikali dhidi ya napoli na kumpiga kipigo kikali cha mabao 2-0, huku chelsea nae akipata bao moja dhidi ya Slavia praha, villarreal achezea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya valencia huku Benfica akimtandika mabao 4-2 Frankfurt


Comments

Popular posts from this blog

Ruge aagwa leo jijini daresalaam

Diamond platnumz awa gumzo juu ya kifo cha ruge

Tanzia: Msanii Jessie ambaye alikuwa zao la THT afariki dunia