Matokeo ya mechi za robo fainali UEFA Ueropa league leo April 11
Michezo mbalimbali iliendelea jana viwanjani, ambapo arsenal alikuwa akichuana vikali dhidi ya napoli na kumpiga kipigo kikali cha mabao 2-0, huku chelsea nae akipata bao moja dhidi ya Slavia praha, villarreal achezea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya valencia huku Benfica akimtandika mabao 4-2 Frankfurt
Comments